UUMBAJI WA SAYARI YETU YA DUNIA Dunia yetu hii na vyote vilivyomo viliumbwa na Mungu kwa muda wa siku sita. Hapa ni siku sita za masaa 24HRS, (Yome[Hebrew]- inayotafasiliwa Kama siku...inamanisha tangu jua kuzama Hadi Jua kuzama sio miaka 6,000 Kama waanavyodhani wengine. [Mwanzo 1:1] Dunia Ina vitu vingi, ndiyo! Mimea aina tofauti, wanyama, n.k kwa Mungu haya sio Mengi kiasi Cha kushindwa kuumba kwa Siku sita tuu, alikuwa anatamka vinatokea!! Kama ifuatavyo; -- Siku ya kwanza (01) Siku ya kwanza Mungu aliumba *NURU* hapo ndipo mwanzo wa Giza na Nuru ulipopatikana..... Mwanzo 1:3-5 [3]Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru... -- Siku ya pili (02) Siku ya pili Mungu aliumba *ANGA* Mwanzo 1:6-8 [6 ]Mungua akasema Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.... -- Siku ya tatu (03) Siku ya tatu Mungu aliumba, *NCHI KAVU* *BAHARI* na *MIMEA* Mwanzo 1:9-11 [9]Mungu akasema,...