Mmliki wa blog hii anajulikana kwa jina la ANCENTY STANSALUSE, kijana kutoka nchini Tanzania,
Amehitimu shahada(degree) katika fani ya management ya uhandisi wa viwanda katika chuo kikuu mzumbe kilichoko nchini Tanzania, kampasi kuu mkoa wa morogoro!
Ni miongoni mwa wafuasi wa Yesu Kristo, mmoja Kati ya wanaotangaza ujio wa Yesu Kristo kwa Mara ya pili,
Blog hii ilianzishwa rasmi April, 24 2025, kwa lengo kuu moja tu, kuhubiri neno la Mungu mwenyezi, kufikisha ujumbe wa malaika watatu kwa njia ya mtandao (Digital evangelism)
Hivyo, kwa swali lolote linalokutatiza usisite kuuliza! Maana tamanio letu ni wewe kujua kweli...
#Wewe ni wa thamani kwetu, zaidi Sana mbele za MUNGU!!
--- Amani ya Bwana iwe Juu yako--- Hesabu: 6:25
Amina....
ReplyDelete🙏🏼amen
ReplyDelete